Sir Jecha Thabit Kombo hatunae tena dunia, amefariki dunia jana usiku kwa kusumbuliwa na maridhi ya Sukari, marehemu Sir Jecha anatarajiwa kuzikwa leo katika kijiji cha Chukwani baada ya sala ya ijuma kwa mujibu wa habari tlizozipata kupitia kwa jamaa na ndugu marehemu ataondokea mwanakwerekwe na kuzikwa Chukwani
DKT. MWIGULU AKAGUA HALI YA UZALISHAJI NA USAMBAZAJI WA MAJI RUVU CHINI
-
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Desemba 29, 2025 amekagua hali za
uzalishaji na usambazaji wa maji eneo la Ruvu Chini, mkoani Pwani.
Akizungumza ba...
1 hour ago
1 Comments
Jamani, tupeni historia fupi ya marehemu wacheni mzaha! visiwa ya watu 1200,000 watu tunashindwa kujuana!
ReplyDeleteBinafsi yangu sikuwahi kumfahamu lkn. niliwahi kusikia kua alikua miongoni mwa mabaharia wa mwanzo wa marehemu MV MAPINDUZI.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi amin!
Mungu alilaze