Huu ni Uharibifu wa mazingira katika makazi ya Wananchi, Kama inavyoonekana pichani kuna baadhi ya Wafanyabiashara wameutelekeza Unga wa Uanga ambao umeharibika na kutokufaa kwa matumizi ya Binaadamu, ukiwa umetupwa katika eneo hili na kuufanya kama ngazi za kupitia wananchi kuelekea nyerere ikizingatiwa wakati huu wa mvua unaweza kusambaa na kuleta madhara kwa wananchi wa eneo hilo
Serikali kuweka mazingira wezeshi kwa wafanyabiashara katika kulinda
ushindani wa soko.
-
Na Mwandishi Wetu
Serikali imesema kuwa itahakikisha wafanyabiashara wanapata mazingira
wezeshi ya biashara, kupata faida, na kuchangia katika ukuaji e...
55 seconds ago
0 Comments