MWANAFUNZI ambae hakupatikana jina
lake, akisoma bango la mtawala Haroun lilikoko Chwaka Tumbe wilaya ya Micheweni,
mkoa wa Kaskazini Pemba, wakati wanafunzi skuli za sekondari za mkoa wa kusini
Pemba, walipokuwa na ziara maalum ilioandaliwa na Kamisheni ya Utalii Pemba,
ili kuamsha ari ya utalii kwa wote (picha na Haji Nassor, Pemba)
Benki ya Stanbic yatoa zawadi za msimu wa sikukuu kupitia Kampeni ya Masta
wa Miamala
-
Benki ya Stanbic Tanzania imetoa zawadi za msimu wa sikukuu kupitia kampeni
inayoendelea ya Masta wa Miamala.
Akizungumza kwenye hafla hiyo iliyoambatana ...
9 hours ago
0 Comments