Wagombea nafasi za kitaifa CUF. Kutoka kulia Mgombea nafasi ya Katibu Mkuu Maalim Seif Sharif Hamad, Mgombea Uenyekiti Prof. Ibrahim Lipumba. Katikati ni mgombea mwengine wa Uenyekiti Chifu Lutalosa Yemba akifuatiwa na mgombea mwengine wa nafasi hiyo M'bezi Adam Bakar. Kushoto ni mgombea Makamu Mwenyekiti Taifa Juma Duni Haji (Picha na Salmin Said, OMKR)
SERIKALI YAPELEKA TABASAMU KWA WANAWAKE,VIJANA NA WENYE ULEMAVU MTWARA
-
Na Mwandishi wetu, Mtwara.
Serikali kupitia Ofisi ya Halmashauri ya Mtwara Mikindani imekabidhi vifaa
saidizi na kiasi cha shilingi milioni 342 ikiwa n...
8 hours ago

0 Comments