Ndugu zangu hawa watu wa shirika la Umeme wako wapi inafikia waya wa umeme kupita juu ya paa la nyumba na kuwekewa tambara kuzuiya kuchunika, hii ni hatari kwa wananchi wanaokaa katika nyumba hii huko kinuni siku waya huo ukiwa tayari umeshachunika na kuleta madhara kwa wananchi wa nyumba hii nani wa kulaumiwa ? ZECO au Mwananchi huyu . jioneeni wenyewe na kutowa maamuzi ya jambo hili kazi kwenu wahusika. Kadhia hii imeiona wakati nikiwa katika tembea yangu kinuni leo asubuhi.
NMB Yakabidhi Vifaa Tiba Vyenye Thamani ya Sh Milioni 15 Kituo cha Afya
Makole Dodoma
-
Benki ya NMB imekabidhi vifaa tiba na mahitaji mbalimbali vyenye thamani ya
sh milioni 15 kwa Kituo cha Afya Makole jijini Dodoma, ikiwa ni sehemu ya
mcha...
11 hours ago
1 Comments
Inasikitisha, kwa Zeco inaonesha haya ni ya kawaida kwao. Yapo maeneo mengi mfano Wa haya. Ukienda pale Mwembe mchomeke kwenye mashine za maji kuna waya ziko chini kabisa name watoto wanacheza Mpira hapohapo. Mola atustiri
ReplyDelete