WANAUSHIRIKA wa kikundi cha 'Subira njema' kilichopo Changaweni, Wilaya ya Mkoani wakitengeneza sabuni kwa kutumia vifaa vya kienyeji, ambavyo vimekuwa vikiwasababishia madhara ya ngozi kutokana baadhi ya dawa wanazozichanganya ikiwemo 'Kastik'. (Picha na Asha Salim, Pemba).
Waziri wa Kilimo, Amefanya Mazungumzo na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,
Mipango na Uwekezaji
-
WAZIRI wa Kilimo, Mhe. Daniel Godfrey Chongolo (Mb) amefanya mazungumzo na
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Alexander
Mk...
4 hours ago
0 Comments