WANAUSHIRIKA wa kikundi cha 'Subira njema' kilichopo Changaweni, Wilaya ya Mkoani wakitengeneza sabuni kwa kutumia vifaa vya kienyeji, ambavyo vimekuwa vikiwasababishia madhara ya ngozi kutokana baadhi ya dawa wanazozichanganya ikiwemo 'Kastik'. (Picha na Asha Salim, Pemba).
SERIKALI YAPELEKA TABASAMU KWA WANAWAKE,VIJANA NA WENYE ULEMAVU MTWARA
-
Na Mwandishi wetu, Mtwara.
Serikali kupitia Ofisi ya Halmashauri ya Mtwara Mikindani imekabidhi vifaa
saidizi na kiasi cha shilingi milioni 342 ikiwa n...
1 hour ago
0 Comments