MAFUNDI wakiwa katika hatua za awali za
ujenzi wa 'Josho' la Ng'ombe, huko Mjimbini Wilaya ya Mkoani Pemba,
unaosimamiwa na Wizara ya Mifugo na Uvuvi, kama wanavyoonekana pichani. (Picha
na Asha Salim, Pemba).
SERIKALI YAPELEKA TABASAMU KWA WANAWAKE,VIJANA NA WENYE ULEMAVU MTWARA
-
Na Mwandishi wetu, Mtwara.
Serikali kupitia Ofisi ya Halmashauri ya Mtwara Mikindani imekabidhi vifaa
saidizi na kiasi cha shilingi milioni 342 ikiwa n...
21 minutes ago
0 Comments