MCHEZO wa karata ambao umekuwa ukichezwa kama
sehemu ya starehe, wakati umefika kwa Zanzibar kuweka kanuni na kuwekea kombe
maalumu ili wachezaji waone faida yake, kama hawa wa maskani ya wazee wa CCM
Mkoani wakisafiri kwenye mchezo huo kwenye maskani yao (picha na Haji Nassor, Pemba)
BUNGE LA 13 LAUNDA KAMATI 17, UPINZANI WAPENYA HUKU WANAWAKE WAKIWA WENGI
ZAIDI
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Bunge la 13 limeunda jumla ya Kamati 17 huku wanawake wengi wakichomoza
kuongoza kamati hizo, Wabunge wa upinzani wa ...
1 hour ago
0 Comments