MJUMBE wa kamati ya maendeleo ya shehia ya Chumbageni wilaya ya mkoani Pemba Amini Haji Makame, akiulizia suali kwa mkuu wa wilaya hiyo Hemed Suleiman Adballa, kuhusu sheria za kumbana mwekezaji aliemo shehiani mwao, ili kutoa mchango wake kwa jamii, kwenye mkutano wa mkuu huyo wa wilaya wakati akijitambulisha kwa wananchi (picha na Haji Nassor, Pemba)
DKT. MAULID ASISITIZA ITIFAKI NA TABIA NJEMA KWA VIONGOZI WA ELIMU
-
Mkutano Mkuu wa 12 wa Umoja wa Maafisa Elimu wa Mikoa na Halmashauri
Tanzania Bara (REDEOA) umeendelea kufanyika jijini Arusha kwa siku saba
tangu ulipofun...
8 hours ago
0 Comments