Ujumbe wa wadi za Makunduchi katika kuitangaza Zanzibar kiutalii uliwazawadia watu wa Sundsvall mlango ambao ulipokelewa na mama Spika ndani ya baraza la manispaa ya Sundsvall (Sundsvall Municipal Assembly). Mlango huo ulitolewa kama zawadi ya watu wa Makunduchi kwa watu wa Sundsvall. Kwenye picha ni ndugu Mohamed Muombwa, ndugu Hafifth bin Ameir na diwani Zawadi. Aliyeshika mlango ni Spika,
OFISI YA MAKAMU WA RAIS NA JIJI LA DAR ES SALAAM ZAKUBALIANA KUANDAA
MAKUBALIANO KUANZIA KITUO CHA KUMBUKUMBU ZA MUUNGANO
-
Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Muungano Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na
Mazingira), Bi. Cesilia Nkwamu akiwasilisha maelezo kuhusu andiko la ukumbi
wa K...
18 minutes ago

0 Comments