6/recent/ticker-posts

Bandari ya Tundauwa hoi bin taaban


IPO haja kwa Tasisi husika kuzifanyia ukarabati bandari mbali mbali, pale zinapoonekana kuanza kuharibika ili kuweza kudumu kwa muda mrefu, pichani bandari ya Tundauwa shehia ya Kilindi ikiwa imeharibika vibaya kama inavyoonekana pichani.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

Post a Comment

0 Comments