Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiagana wafiwa waMarehemu Bi Benadeta Francis Chacha alipofika kutoa mkono wa pole nyumbani kwa Kianga Wilaya ya Magharibi Unguja leo.[Picha na Ikulu.]
MEYA KIBAHA KUTOA ZAIDI YA MILION 18 KUCHIMBA VISIMA VINNE KUPUNGUZA KERO
YA MAJI PANGANI
-
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Disemba 22, 2025
Baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, Halmashauri ya
Manispaa ya Kibaha wanakabiliwa na uhaba...
16 hours ago


3 Comments
Alikuwa nani huyu bibi Benadeta Francis Chacha?
ReplyDeletehuyu bibi alikuwa ni mkiristo wa KIANGA unguja
ReplyDeleteHii kupeana mikono kiholela kama hivi haina athari yoyote ktk mizani ya amali za mja?
ReplyDelete