Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiagana wafiwa waMarehemu Bi Benadeta Francis Chacha alipofika kutoa mkono wa pole nyumbani kwa Kianga Wilaya ya Magharibi Unguja leo.[Picha na Ikulu.]
UELEWA WA PAMOJA KWA USTAWI WA PAMOJA: WANAHABARI WANOLEWA KUHUSU DIRA 2050
-
Wanahabari wametakiwa kuwa daraja la kuifikisha kwa umma mikakati na
malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ili kuhakikisha kunakuwepo
uelewa wa pamoja...
1 hour ago


3 Comments
Alikuwa nani huyu bibi Benadeta Francis Chacha?
ReplyDeletehuyu bibi alikuwa ni mkiristo wa KIANGA unguja
ReplyDeleteHii kupeana mikono kiholela kama hivi haina athari yoyote ktk mizani ya amali za mja?
ReplyDelete