Sehemu ya mbele ya Msikiti huo
WAZIRI SANGU ATETA NA VIONGOZI WA MAKANISA YA KIPENTEKOSTE (CPCT)
-
Na: OWM – KAM, Dar es Salaam
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mheshimiwa
Deus Clement Sangu(Mb.), amekutana na kufanya mazu...
1 hour ago
2 Comments
Jambo zuri kuujenga upya msikiti , lkn kuna design maalum za misikiti , huu unavyoonekana sasa ni kama nyumba tu ya ukaazi na sio kimsikiti . Lazma makandarasi watizamwe vizuri hizo design zao
ReplyDeleteMdau pengine pint yako ina maana sasa lakini naomba ungetusaidai kidogo, labda ulipaswa uwe na kitu gani zaidi au kitu kipi kingekaa wapi na mambo kama hayo ili hao Contractors wakaelewa zaidi hizo basic za misikiti, hata na mimi nimeona kama uivyoona wewe lakini nikasema labda pengine kutokana na ufinyu wa eneo, eneo tayari limo ndani ya mtaa uliosheheni majumba pande zote.
ReplyDelete