Afisa Habari wa Chama cha Mpira wa Miguu Zanzibar ZFA Ali Bakari Cheupe, akizungumza na Waandishi wa habari wa Michezo Zanzibar kuzungumzia kwa kukamilika maandalizi ya Mkutano Mkuu wa ZFA unaotarajiwa kufanyika Jumapili katika Ukumbi wa Judoka Amani.na kupitia katiba na kutowa Taarifa ya Mapato na Matumizi ya ZFA kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu.
TANZANIA YATUMIA MICHUANO YA AFCON 2025 KUUZA MAZAO YA UTALII
-
Na mwandishi wetu, Morocco
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Hassan Chande (Mb), amesema
Tanzania inatumia fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (...
2 hours ago
0 Comments