ni Biashara iliyonza miaka mingi sana ambapo wafanyabiashara hii mara nyingi huishi mashamba na kuleta maziwa mjini kila siku kufuatia oda maalum kwenye majumba ambayo huwapelekea maziwa fresh ya N'gombe. Wafanya biashara wa mazkiwa huwa hawalali mjini wakimaliza hurudi mashamba kwa ajili ya kujiandaa na siku nyengine
DKT. MAULID ASISITIZA ITIFAKI NA TABIA NJEMA KWA VIONGOZI WA ELIMU
-
Mkutano Mkuu wa 12 wa Umoja wa Maafisa Elimu wa Mikoa na Halmashauri
Tanzania Bara (REDEOA) umeendelea kufanyika jijini Arusha kwa siku saba
tangu ulipofun...
4 hours ago
0 Comments