PIKIPIKI hii ambayo mtu aliyeiegesha hakujulikana mara moja, ilipata ajali ya kuangukiwa na matawi ya mti katika eneo la Majestic mjini Zanzibar mkabala na kituo cha Polisi, kama ilivyonaswa na kamera ya Zanzibar Leo jana asubuhi. (Picha na Salum Vuai).
Benki ya Stanbic yatoa zawadi za msimu wa sikukuu kupitia Kampeni ya Masta
wa Miamala
-
Benki ya Stanbic Tanzania imetoa zawadi za msimu wa sikukuu kupitia kampeni
inayoendelea ya Masta wa Miamala.
Akizungumza kwenye hafla hiyo iliyoambatana ...
11 hours ago

0 Comments