Kijicho cha Kampuni ya Kichina inayojenda Mitaro ya kupitishia Maji katika maeneo mbali mbali ya Zanzibar ikiendelea na mradi huo kwa ujenzi wa mtaro huo katika eneo la chumbuni Zanzibar wakichimba barabara kwa ajili ya kupitisha mabomba makubwa ya kupitishia maji kutoka maeneo ya welezo kuelekea eneo la mtaro uaokwenda katika bahari ya maruhubi.
TANZANIA YATUMIA MICHUANO YA AFCON 2025 KUUZA MAZAO YA UTALII
-
Na mwandishi wetu, Morocco
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Hassan Chande (Mb), amesema
Tanzania inatumia fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (...
2 hours ago
0 Comments