Waziri wa Afya Zanzibar Mhe Mahmoud Thabit Kombo akikabidhiwa funguo za magari 6 kwa ajili ya Wizara ya Afya Zanzibar, Gari 4 za Kubebea Wagonjwa na 2 kwa Ajili ya Uratibu wa Vifaa Tiba kwa Wizara ya Afya, akikabidhi magari haro Kaimu Mkurugenzi Mkaazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa Linaloshughulikia Idadi ya Watu Ulimwenguni (UNFPA) Dr. Hashima Begum. hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Wizara ya Afya Mnazi Mmoja Zanzibar.
TRA YAANZA KUCHUKUA HATUA UTARATIBU MPYA UINGIZAJI MAFUTA YA KULA
-
KAMISHINA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) Yusuph Mwenda amesema
Mamlaka hiyo tayari imeanza kuchukua hatua kuelekea kuanza kutumika kwa
utaratibu m...
6 hours ago
0 Comments