Mchezaji wa Timu ya Simba akijaribu kumpita beki wa Timu ya Mwenge wakati wa mchezo wao wa Kombe la Mapinduzi uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu hizo zimetoka sare ya bao 1-1. usiku huu michuano hiyo inaendelea kwa kuzikutanisha Timu ya Yanga na Mlandege
MAGARO AWATAKA MADIWANI KUSIMAMIA SHERIA, KANUNI NA TARATIBU.
-
Na Nasra Ismail- Geita
Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Geita Karia Magaro
amewataka madiwani kusimamia Sheria kanuni na taratibu za uende...
20 minutes ago
0 Comments