WASAMARIA wema na madereva wa gari mbali mbali, wanaopeleka wananchi katika ufukwe wa Vumawimbi ulioko Makangale Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakisaidia kusukuma gari iliyokwama kufuatia fukwe hiyo kuwa na uchafu mwingi katika kipindi hiki cha Upepo wa Kaskazi.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
SERIKALI ITAENDELEA KUSHIRIKIANA NA VIONGOZI WA DINI-DKT. MWIGULU
-
-Asema lengo ni kujenga Taifa lenye hofu ya Mungu, upendo, haki na
uwajibikaji
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 18, 2026 ameshiriki Ibada...
8 hours ago
0 Comments