Wafanyakazi wa kampuni ya mawasiliano ya Zantel wakishangilia ushindi wa Taifa Stars dhidi ya timu ya Cranes ya Uganda na kufanikiwa kuifunga Uganda Cranes mabao 3-0 na kufanikiwa kusonga mbele katika fainali za mashindano ya AFCON yatakayofanyika nchini Misri.
GGML Kili Challenge Yashiriki Maonesho ya Kilimanjaro Marathon 2026
-
Moshi, Tanzania
GGML Kili Challenge inayotekelezwa kupitia GGML Kili Trust, inashiriki
Kilimanjaro Marathon 2026, maarufu kama “Mbio za Watu”, kupitia ma...
4 hours ago


0 Comments