Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa na Mkewe Mama Mary (kulia) wakimjulia hali Mama Maria Nyerere anayepatiwa matibabu jijini Dar es salaam, Juni 9, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Msajili wa Hazina azindua Mpango Mkakati wa NMB 2026–2030
-
Na Mwandishi wa OMH
Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amezindua Mpango
Mkakati wa Muda wa Kati wa Benki ya NMB wa mwaka 2026 hadi 2...
8 hours ago
0 Comments