Viongozi wa klabu ya waandishi wa habari Pemba, wakiwa katika picha ya pamoja na wanachama wa klabu hiyo, ni baada ya kumaliza Mkutano Mkuu wa mwaka wa klabu hiyo katika kujadili mambo mbali mbali ikiwemo muelekeo wa kabla hiyo pamoja maazimio kumi kutoka Mkutano mkuu wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa habari Tanzania (UTPC) uliyofanyika December 24. 2022 katika Ukumbi wa maktaba Chake Chake Pemba. Picha Na, Hassan Msellem-Idawaonline.com Pemba.
AMBONI ADVENTURE RUN, FURSA YA KUTANGAZA MAPANGO YA AMBONI TANGA
-
Na Kassim Nyaki, Amboni Tanga.
Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro imeshiriki na kudhamini mbio za AmbonI
Adventure run zilizofanyika leo tarehe 31 Januari ...
26 minutes ago

0 Comments