Mkurugenzi Mkuu wa Chuo cha City College Ilala Dar es Salaam Ndg. Shabani akimkabidhi zawadi ya shilingi laki mbili mchezaji mwenye nidhamu katika Mchezo wa Mapinduzi Cup 2023/2024 kutoka Timu ya Yanga wakati wa mchezo wao na Timu ya Jamus mchezo huo Timu ya Yanga imeshinda bao 2-1, uliyofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar.
WAFANYAKAZI TUME YA UTUMISHI WA UMMA, WATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA
NGORONGORO.
-
Watumishi wa ofisi ya Rais Tume ya Utumishi wa Umma, leo Februari 4,
wakiongozwa na Mwenyekiti wa Tume hiyo Jaji Mstaafu Hamisa H. Kalombola,
wametembele...
10 hours ago



0 Comments