Mchezaji wa Timu ya Muembemakumbi City akimpita beki wa Timu ya Chipukizi wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ mchezo uliyofanyika leo 20-10-2025 katika Uwanja wa Mao Zedung.Timu ya Muembemakumbi City imeshinda mchezo huo kwa Bao 2-0.
NAIBU KATIBU MKUU CCM BARA ASHIRIKI MAZISHI YA NDUGU NASSOR HAMDANI TABORA
-
Na Mwandishi Wetu, Tabora
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara,John Mongella, kwa
niaba ya Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Asha-Rose Migir...
8 hours ago







0 Comments