Mchezaji wa Timu ya Muembemakumbi City akimpita beki wa Timu ya Chipukizi wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ mchezo uliyofanyika leo 20-10-2025 katika Uwanja wa Mao Zedung.Timu ya Muembemakumbi City imeshinda mchezo huo kwa Bao 2-0.
JK AENDELEA KUWA KINARA WA ELIMU DUNIANI
-
Rais Mstaafu Jakaya Dkt. Mrisho Kikwete, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi
ya Taasisi ya Kimataifa inayoshughulikia Masuala ya Elimu Duniani (Global
Partner...
1 hour ago







0 Comments