Mchezaji wa Timu ya Polisi akimpita beki wa Timu ya Chipukizi wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ 2026/2026 Zanzibar, mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong Timu ya Polisi imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
SIKU 3 ZA MKOA WA DODOMA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI NA KUTOA TAARIFA SIKU
100 ZA DKT SAMIA.
-
Mkuu wa Mkoa Dodoma Mhe Rosemary Senyalume ametoa wito kwa Wananchi wote wa
Mkoa Dodoma kujitokeza kutumia fursa ya kutoa kero zao na kupata utatuzi
kati...
9 hours ago











0 Comments