Mchezaji wa Timu ya KVZ na Uhamiaji wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ 2025/2026, uliyofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong Wilaya ya Mjini Unguja.Kati mcezo huo timu hizo zimetoka sare ya bao 1-1.
SERIKALI ITAENDELEA KUSHIRIKIANA NA VIONGOZI WA DINI-DKT. MWIGULU
-
-Asema lengo ni kujenga Taifa lenye hofu ya Mungu, upendo, haki na
uwajibikaji
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 18, 2026 ameshiriki Ibada...
8 hours ago












0 Comments