Muonekano wa hatua iliyofikiwa ya ujenzi wa Bwawa la Maji la Kidunda mkoani Morogoro ambalo Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba alikagua ujenzi wake, Januari 2, 2026.
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akisikiliza maelezo kutoka kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa mazingira Dar es salaam, (DAWASA), Mhandisi Mkama Bwire (kulia) alipokagua maendeleo ya ujenzi wa Bwawa la Maji la Kidunda mkoani Morogoro, Januari 2, 2026. Wa tano kulia ni Waziri wa Maji, Jumaa Aweso na wa tatu kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima.
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akisikiliza maelezo kutoka kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa mazingira Dar es salaam, (DAWASA), Mhandisi Mkama Bwire (kulia) alipokagua maendeleo ya ujenzi wa Bwawa la Maji la Kidunda mkoani Morogoro, Januari 2, 2026. Wa tatu kulia ni Waziri wa Maji, Jumaa Aweso
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akisikiliza maelezo kutoka kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa mazingira Dar es salaam, (DAWASA), Mhandisi Mkama Bwire (kulia) alipokagua maendeleo ya ujenzi wa Bwawa la Maji la Kindunda mkoani Morogoro, Januari 2, 2026. Kulia kwake ni Waziri wa Maji, Jumaa Aweso.
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akisikiliza maelezo kutoka kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa mazingira Dar es salaam, (DAWASA), Mhandisi Mkama Bwire (kulia) alipokagua maendeleo ya ujenzi wa Bwawa la Maji la Kindunda mkoani Morogoro, Januari 2, 2026. Kulia kwake ni Waziri wa Maji, Jumaa Aweso.
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akisikiliza maelezo kutoka kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa mazingira Dar es salaam, (DAWASA), Mhandisi Mkama Bwire (kulia) alipokagua maendeleo ya ujenzi wa Bwawa la Maji la Kindunda mkoani Morogoro, Januari 2, 2026. Kulia kwake ni Waziri wa Maji, Jumaa Aweso.
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akisikiliza maelezo kutoka kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa mazingira Dar es salaam, (DAWASA), Mhandisi Mkama Bwire (kulia) alipokagua maendeleo ya ujenzi wa Bwawa la Maji la Kindunda mkoani Morogoro, Januari 2, 2026. Kulia kwake ni Waziri wa Maji, Jumaa Aweso.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 Comments