Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohammed Shein, akisalimiana na Mkurugenzi wa maradhi ya Parasite, pia Mwenyekiti wa (SCORE) Prof Daniel Colley, kutoka Chuo cha Georgia Nchini Marekani,akiwa na Ujumbe wake,walipofika Ikulu Mjini Zanzibar jana.
Picha na Ramadhan Othman,
0 Comments