Mandhari na harakati za kila siku katika eneo hili la Darajani Mjini Zanzibar, kama linavyoonekana pichani wakati wa kazi asubuhi ndivyo linavyokuwa na pirika pirika za hapa na pale na msongamano wa watu wakiwa katika shughuli zao.
WATANZANIA KEFA IGILO NA JERRYSON ONASAA WASHINDA TUZO ZA za FILAMU ZA
AMVCA NIGERIA
-
WATAYARISHAJI wa filamu kutoka Nchini Tanzania, Kefa Hussein Igilo na
Jerryson Onasaa, wameipeperusha vyema bendera ya taifa baada ya kushinda
tuzo kubwa k...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment