Mandhari na harakati za kila siku katika eneo hili la Darajani Mjini Zanzibar, kama linavyoonekana pichani wakati wa kazi asubuhi ndivyo linavyokuwa na pirika pirika za hapa na pale na msongamano wa watu wakiwa katika shughuli zao.
MFANYABIASHARA CHIPUKIZI PEDIMA AENDELEA KUNG’ARA KATIKA UBUNIFU NA UONGOZI
TANZANIA
-
Mfanyabiashara chipukizi, Peter Didas Mallya maarufu kama PEDIMA,
ameendelea kuibua mvuto mkubwa katika tasnia ya biashara nchini kutokana na
ukuaji wa...
2 hours ago
0 Comments