Kwa Habari, Picha na Matukio Tembelea ZanziNews
Tangaza nasi kwa bei nafuu (advertise with us ). Tupigie 0777 424152 au tuandikie (email) othmanmaulid@gmail.com
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad akikabidhi zawadi ya mlango kwa Katibu Mkuu wa jimbo la Andhra Pradesh, Sutirtha Battacharya mara baada ya kufanya mazungumzo naye huko Hyderabad, India
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad akitoa ufafanuzi kuhusu Zanzibar mbele ya Katibu Mkuu wa jimbo la Andhra Pradesh, Sutirtha Battacharya. Katikati ni Waziri wa Biashara, Nassor Ahmed Mazrui.
No comments:
Post a Comment