MAMA huyu akipitia magazeti mbalimbali kusoma vichwa na habari katika magazeti ili kujuwa matukio mbalimbali yanayotokea, kujuwa habari haizingatiwi umri, kila mtu ana haki ya kupata habari.
NAIBU KATIBU MKUU ZUHURA ARIDHISHWA NA MAANDALIZI YA KILELE CHA MBIO ZA
MWENGE WA UHURU 2025 MBEYA
-
Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye
Ulemavu Zuhura Yunus akizungumza na Wajumbe wa Kamati ya Mkoa wa Mbeya
wakati wa zia...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment