MAMA huyu akipitia magazeti mbalimbali kusoma vichwa na habari katika magazeti ili kujuwa matukio mbalimbali yanayotokea, kujuwa habari haizingatiwi umri, kila mtu ana haki ya kupata habari.
WAKALA WA VIPIMO WABAINI UDANGANYIFU WA MIZANI MABUCHANI TEMEKE NA KIGAMBONI
-
Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Temeke umebaini vitendo vya udanganyifu
katika baadhi ya mabucha yanayouza nyama, baada ya kufanya operesheni
maalum ya...
2 hours ago
0 Comments