WANANCHI wakiwa katika maandalizi ya Skikukuu ya Krismasi, mwishoni mwa wiki hii, wakichagua maua katika moja ya maduka maeneo ya Mchangani Unguja.
MFANYABIASHARA ya kutembeza bidhaa mikononi akiwa na mikanda akifanya buiashara hiyo maeneo ya Darajani kama anavyooonekana pichani akiwa na mteja wa bidhaa hiyo.
Picha zote na Ali Athuman
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment