WANANCHI wakiwa katika maandalizi ya Skikukuu ya Krismasi, mwishoni mwa wiki hii, wakichagua maua katika moja ya maduka maeneo ya Mchangani Unguja.
MFANYABIASHARA ya kutembeza bidhaa mikononi akiwa na mikanda akifanya buiashara hiyo maeneo ya Darajani kama anavyooonekana pichani akiwa na mteja wa bidhaa hiyo.
Picha zote na Ali Athuman
TUME YA HAKI ZA BINADAMU (THBUB) YAWATAKA WANASIASA KUWEKA MBELE MASLAHI YA
WATU
-
KAMISHNA wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), ofisi ya
Zanzibar, Mhe. Khatib Mwinyichande, amewasihi wanasiasa kuzingatia zaidi na
kuweka...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment