Baadhi ya Watu hufanya uharibifu wa makusudi kuharibu, bla ya kujali athari yake kwa watumiaji wa barabara kwa kutowa vyuma vya kukingia ukingo wa barabara, kama inavyoonekana sehemu hii vyuma vyake vimetolewa na kuwachwa hali kama hii. huku ni kujenga au kuharibu.?
Habari : Wenye vyeti feki vya Uandishi wa Habari Waonywa
-
Na Mwandishi Wetu, JAB.
Wakati Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) ikiufungua rasmi mfumo
wa usajili wa Waandishi wa Habari wa https://taiha...
29 minutes ago
No comments:
Post a Comment