Baadhi ya Watu hufanya uharibifu wa makusudi kuharibu, bla ya kujali athari yake kwa watumiaji wa barabara kwa kutowa vyuma vya kukingia ukingo wa barabara, kama inavyoonekana sehemu hii vyuma vyake vimetolewa na kuwachwa hali kama hii. huku ni kujenga au kuharibu.?
TIA YAANZISHA KAMPASI MPYA MKOANI TANGA
-
NA EMMANUEL MBATILO
TAASISI ya Uhasibu Tanzania (TIA) imeanzisha Kampasi mpya ya TIA mkoani
Tanga, ambayo inalenga kuhudumia wanafunzi kutoka kanda ya Kask...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment