Mhe Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Othman Masoud, akichangia mswada wa Bodi ya Mitihani, katika kikao cha jioni.
Mwakilishi wa UziniMhe. Mohammed Raza Hassanali, akisisitiza jambo na Mhe. Mohammed Aboud, Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, baada ya kumalizika kwa kikao cha Jioni kuchangia Mswada wa Bodi ya Mitihani wakiwa njev ya Ukumbi wa Baraza.
No comments:
Post a Comment