Hii ni timu machachari ya Kundemba ya miongo mitatu iliyopita ilikuwa ikicheza Central na hatimae daraja la pili. Picha hii ilipigwa mwaka 1984
Kutoka Kulia waliosimama ni Ahmed Nyenye ( Dila nene), Zahran Muazini, Ali Rajab, Ali Juma ( Yupo UK) Ramadhan Hassan ( Manishai), Ali Tall, Juma Sumbu ( Sasa ni Kocha). Waliokaa kutoka Kulia Muhsin, Juma Mkambi, Shaaban Mnyepe, Edi Abushiri, Juma Kikoti ( Marehemu) na Ali Jae ( Yupo UK)
Una kumbukumbu yoyote ya chama hili ambalo lilikuja kufutwa mwaka 1998 baada ya game kati yake na Mwera Star baada ya kutokea fujo uwanja wa fuoni iliyopelekea askari kuingilia kati kwa refa kuipendelea timu ya Mwera dhahir shahir.
Imerudishwa tena miaka miwili iliyopita na majuzi tu ilishuka daraja kutoka daraja pili na kuwa la tatu.
Kituo cha sheria cha ELAF: Tuelimishe amani, siyo vurugu za uchaguzi
-
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
Kuelekea uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani unaotarajiwa kufanyika
Oktoba 29 mwaka huu, Kituo cha Sheria cha Ever...
49 minutes ago


No comments:
Post a Comment