Hii ni timu machachari ya Kundemba ya miongo mitatu iliyopita ilikuwa ikicheza Central na hatimae daraja la pili. Picha hii ilipigwa mwaka 1984
Kutoka Kulia waliosimama ni Ahmed Nyenye ( Dila nene), Zahran Muazini, Ali Rajab, Ali Juma ( Yupo UK) Ramadhan Hassan ( Manishai), Ali Tall, Juma Sumbu ( Sasa ni Kocha). Waliokaa kutoka Kulia Muhsin, Juma Mkambi, Shaaban Mnyepe, Edi Abushiri, Juma Kikoti ( Marehemu) na Ali Jae ( Yupo UK)
Una kumbukumbu yoyote ya chama hili ambalo lilikuja kufutwa mwaka 1998 baada ya game kati yake na Mwera Star baada ya kutokea fujo uwanja wa fuoni iliyopelekea askari kuingilia kati kwa refa kuipendelea timu ya Mwera dhahir shahir.
Imerudishwa tena miaka miwili iliyopita na majuzi tu ilishuka daraja kutoka daraja pili na kuwa la tatu.
TANZANIA YANG’ARA KIMATAIFA KWA USIMAMIZI BORA WA DENI LA SERIKALI
-
Na Joseph Mahumi, WF
Serikali ya Tanzania imeendelea kung’ara katika jukwaa la kimataifa baada
ya kuibuka mshindi wa jumla wa mwaka katika Tuzo za Usima...
1 hour ago

0 Comments