Watoto wakiwa katika Ufukwe wa Bahari ya Forodhani wakiogolea ikiwa ni shamrashamra za kusherehekea sikukuu ya Eid el Fitry kwa michezo mbalimbali katika Visiwa vya Zanzibar, wakiungana na Waislam wengine Duniani kushereherea sikukuu hii.
Walimu 150 wa amali kukwea pipa kwenda India kesho
-
Na Mwandishi Wetu
WALIMU 150 wa amali kwenye shule za serikali wanaondoka Jumapili kwenda
nchini India kwa mafunzo maalum ya amali ambayo yatawawezesha kuo...
9 minutes ago
0 Comments