Watoto wakiwa katika Ufukwe wa Bahari ya Forodhani wakiogolea ikiwa ni shamrashamra za kusherehekea sikukuu ya Eid el Fitry kwa michezo mbalimbali katika Visiwa vya Zanzibar, wakiungana na Waislam wengine Duniani kushereherea sikukuu hii.
MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA POLISI NYAKITONTO KWA AJILI YA KUONGEZA
USALAMA
-
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Alli Issu, amesema
uwepo wa miradi mingi yenye thamani kubwa katika Halmashauri ya Wilaya ya
Kasulu ni...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment