Wataalamu wa Mchezo wa Riadha Zanzibar wakiwa katika matayarisho ya kupata kipimo sahihi cha Marathon yanayotarajiwa kufanyika katika uwanja wa Amaan na kuelekea sehemu inayokusudiwa na kumalizia Amaan, wakiweka sawa vipimo vya kilomita zitakazotumika katika mashindano hayo hapa Zanzibar na kuwashirikisha wachezaji wa ndani na nje ya nchi.
PPRA Yawahimiza Watanzania Kujisajili NEST Kushiriki Zabuni za Serikali
-
Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA) imewataka Watanzania
kujisajili katika mfumo wa manunuzi wa kielektroniki wa NEST ili waweze
kunufaika na fu...
36 minutes ago
No comments:
Post a Comment