Wataalamu wa Mchezo wa Riadha Zanzibar wakiwa katika matayarisho ya kupata kipimo sahihi cha Marathon yanayotarajiwa kufanyika katika uwanja wa Amaan na kuelekea sehemu inayokusudiwa na kumalizia Amaan, wakiweka sawa vipimo vya kilomita zitakazotumika katika mashindano hayo hapa Zanzibar na kuwashirikisha wachezaji wa ndani na nje ya nchi.
CHITALE AHUBIRI UMOJA MKUTANO MKUU WA WADAU MADALE GROUP
-
*Na John Bukuku – Dar es Salaam*
*Kaimu DAS wa Wilaya ya Kinondoni, Bw. Salumu Chitale, aliyemwakilisha Mkuu
wa Wilaya, ametumia Mkutano wa Umoja wa W...
2 hours ago
0 Comments