Wataalamu wa Mchezo wa Riadha Zanzibar wakiwa katika matayarisho ya kupata kipimo sahihi cha Marathon yanayotarajiwa kufanyika katika uwanja wa Amaan na kuelekea sehemu inayokusudiwa na kumalizia Amaan, wakiweka sawa vipimo vya kilomita zitakazotumika katika mashindano hayo hapa Zanzibar na kuwashirikisha wachezaji wa ndani na nje ya nchi.
VIP SOBER HOUSE YAZINDULIWA JIJINI DAR ES SALAAM ,MSANII MAARUFU WA
BONGOFLEVA NDANI YA MJENGO
-
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya
(DCEA), Aretas Lyimo, amefungua rasmi kituo kipya VIP Sober House
Kigamboni, jiji...
44 minutes ago
0 Comments