Wataalamu wa Mchezo wa Riadha Zanzibar wakiwa katika matayarisho ya kupata kipimo sahihi cha Marathon yanayotarajiwa kufanyika katika uwanja wa Amaan na kuelekea sehemu inayokusudiwa na kumalizia Amaan, wakiweka sawa vipimo vya kilomita zitakazotumika katika mashindano hayo hapa Zanzibar na kuwashirikisha wachezaji wa ndani na nje ya nchi.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi
Amefanya Uteuzi wa Wajumbe 8 Kuwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi amefanya uteuzi wa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar,
walioteuliw...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment