Habari za Punde

Zanzibar Heroes 2 - Amavubi - 1



Beki wa Zanzibar, Nassor Masoud 'Chollo' akiondoka na mpira mbele ya kiungo wa Rwanda, Haruna Niyonzima


Khamis Mcha ‘Vialli’akiruka kushangilia baada ya kufunga bao la kwanza. Kushoto ni Jaku Juma.


Kikosi cha Timu ya Rwanda


Kikosi cha timu ya Zanzibar Heroes


Khamis Mcha akishangilia bao la pili huku akifuatwa na Suleiman Kassim 'Selembe'


Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Zanzibar wakishangilia goli la pili kwa staili ya kupiga kasia baada ya kuwatungua wanyarwanda

Picha kwa hisani ya blog ya Binzubeiry

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.