Wakala wa kusambaza magazeti katika Kisiwa cha Zanzibar akikabidhi magazeti kwa wauzaji wadogo wadogo wa bidhaa hiyo baada ya kuwasili katika bandari ya Zanzibar yakitokea Dar-es- Salaam, kwa ajili ya kusambaza kwa Wananchi kupata habari mbalimbali kupitia magazetini, kama nilivyowakuta wakati nikiwa katika rovingi za mitaani leo asubuhi wakiwa katika eneo la Old Dispensary Malindi.
BASHUNGWA ACHUKUA FOMU KUTETEA UBUNGE JIMBO LA KARAGWE.
-
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), Innocent L.
Bashungwa amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kutetea nafasi ya Ubunge
katika Jimbo la K...
9 minutes ago
No comments:
Post a Comment