Wakala wa kusambaza magazeti katika Kisiwa cha Zanzibar akikabidhi magazeti kwa wauzaji wadogo wadogo wa bidhaa hiyo baada ya kuwasili katika bandari ya Zanzibar yakitokea Dar-es- Salaam, kwa ajili ya kusambaza kwa Wananchi kupata habari mbalimbali kupitia magazetini, kama nilivyowakuta wakati nikiwa katika rovingi za mitaani leo asubuhi wakiwa katika eneo la Old Dispensary Malindi.
MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA POLISI NYAKITONTO KWA AJILI YA KUONGEZA
USALAMA
-
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Alli Issu, amesema
uwepo wa miradi mingi yenye thamani kubwa katika Halmashauri ya Wilaya ya
Kasulu ni...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment