Wakala wa kusambaza magazeti katika Kisiwa cha Zanzibar akikabidhi magazeti kwa wauzaji wadogo wadogo wa bidhaa hiyo baada ya kuwasili katika bandari ya Zanzibar yakitokea Dar-es- Salaam, kwa ajili ya kusambaza kwa Wananchi kupata habari mbalimbali kupitia magazetini, kama nilivyowakuta wakati nikiwa katika rovingi za mitaani leo asubuhi wakiwa katika eneo la Old Dispensary Malindi.
Ulega Ahamasisha Wananchi Tambani Kujitokeza Kupiga Kura Oktoba 29
-
*MKURANGA, Pwani* – Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mkuranga kupitia Chama Cha
Mapinduzi (CCM), Abdallah Ulega, amewataka wananchi wa Kijiji cha Tambani
ku...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment