Habari za Punde

Kamati ya Baraza la Wawakilishi yatembelea Redio jamii Micheweni

 WAMWANZO kushoto ni Kaimu Meneja wa radio Jamii  Micheweni (RJM) Pemba, Ali Massoud Kombo akitoa maelezo mbele ya Kamati ya Mifugo, Utalii, Uwezeshaji na Habari ya Baraza la Wawakilishi, kuhusu kazi na changamoto za radio hiyo kulia ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo Asha Bakar Makame, akifuatiwa na Naibu Waziri wa Habari Hindi Hamad Khamis wakati kamati hiyo ilipotembelea kituo hicho jana


MWENYEKITI wa Kamati ya Mifugo, Utalii, Uwezeshaji na Habari ya Baraza la Wawakilishi Asha Bakari Makame akizungumza na wafanyakazi wa Radio Jamii Micheweni Pemba pamoja na watedaji wakuu wa Wizara ya Habari huko radio Jamii Micheweni mara baada ya kamati hiyo kutembelea kituo hicho (picha na Haji Nassor, Pemba)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.