Jengo la Skuli ya Hamamni likiwa katika ukarabati mkubwa wa jengo hilo, ili kuliimarisha ubora wake ili kutowa huduma kwa wanafunzi wanaosoma skuli hiyo,kwa sasa wanafunzi wake wamehamishiwa skuli mbalimbali kuendelea na masomo yao kupisha ujenzi huo.
TRA YAANZA KUCHUKUA HATUA UTARATIBU MPYA UINGIZAJI MAFUTA YA KULA
-
KAMISHINA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) Yusuph Mwenda amesema
Mamlaka hiyo tayari imeanza kuchukua hatua kuelekea kuanza kutumika kwa
utaratibu m...
2 hours ago
0 Comments