Jengo la Skuli ya Hamamni likiwa katika ukarabati mkubwa wa jengo hilo, ili kuliimarisha ubora wake ili kutowa huduma kwa wanafunzi wanaosoma skuli hiyo,kwa sasa wanafunzi wake wamehamishiwa skuli mbalimbali kuendelea na masomo yao kupisha ujenzi huo.
ELIMU, HAMASA NA UWEZESHWAJI WA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA WASHIKA
KASI MTWARA
-
-Wananchi waipokea kwa kishindo
-Klabu za Nishati Safi ya Kupikia zaanzishwa mashuleni
-Walimu na Wanafunzi waipongeza REA waahidi kuwa mabalozi
-Lengo if...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment