Jengo la Skuli ya Hamamni likiwa katika ukarabati mkubwa wa jengo hilo, ili kuliimarisha ubora wake ili kutowa huduma kwa wanafunzi wanaosoma skuli hiyo,kwa sasa wanafunzi wake wamehamishiwa skuli mbalimbali kuendelea na masomo yao kupisha ujenzi huo.
TANZANIA YATUMIA MICHUANO YA AFCON 2025 KUUZA MAZAO YA UTALII
-
Na mwandishi wetu, Morocco
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Hassan Chande (Mb), amesema
Tanzania inatumia fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (...
1 hour ago
0 Comments