Habari za Punde

Bhaa uso kwa uso na Issa Khamis



Mwakilishi wa jimbo la Bububu CCM Hussein Ibrahim 'Bhaa' akiwa na aliyekuwa mpinzani wake katika uchaguzi kutoka chama cha CUF Issa Khamis walipokutana mitaa ya Mlandege kituo cha mafuta .
 
Sakata la 'mahasimu' wawili hawa liliwafanya wawakilishi wa CUF kutoka barazani kugomea ushindi wa mwakilishi huyo wakati Mh.Bhaa  alipokuwa anaapishwa.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.