Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,na Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar,akisalimiana na Viongozi baada ya kuwasili katika Ofisi ya Chama cha Mapinduzi Wilaya Mpya ya Mfenesini Mwera,alipofika Ofisi hapo kupata Taarifa ya kazi za Chama,akiwa katika ziara ya kuimarisha Chama cha CCM katika Mkoa wa Magharibi Unguja
MAADHIMISHO YA MIAKA 25 YA JUMUIYA YA TATHIMINI AFRIKA ( AfrEA ) WAFANYIKA
ADDIS ABABA-ETHIOPIA
-
Na Mwandishi Wetu – Addis Ababa, Ethiopia
Tanzania imeshiriki Maadhimisho ya Miaka 25 ya Jumuiya ya Tathmini Afrika
(AfrEA) yanayofanyika kwa siku tatu...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment