Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,na Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar,akisalimiana na Viongozi baada ya kuwasili katika Ofisi ya Chama cha Mapinduzi Wilaya Mpya ya Mfenesini Mwera,alipofika Ofisi hapo kupata Taarifa ya kazi za Chama,akiwa katika ziara ya kuimarisha Chama cha CCM katika Mkoa wa Magharibi Unguja
SERIKALI YAHIMIZA USHIRIKIANO NA SEKTA BINAFSI KUBORESHA HUDUMA YA YA AFYA
-
Naibu Katibu Mkuu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Daniel
Mushi (kushoto) akimkabidhi zawadi Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania ...
4 minutes ago
No comments:
Post a Comment