Wadau wa mtaa wa Rahaleo wakiwa katika kijiwe wakiwa na majonzi ya kuondokewa na kipenzi chao Bi Kidude, kwa kumpoteza bibi wa mtaa huo alikuwa rafiki wa kila Kijana na Vijana wote katika mtaa huo ni wajukuu zake na wapenzi wake. wakitafakari baada ya kurudi mazikoni.
WAZIRI SIMBACHAWENE AIPONGEZA TCAA KWA UTENDAJI BORA KATIKA MAONESHO YA
WIKI YA UTUMISHI WA UMMA 2025
-
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, Mhe. George Simbachawene, ameipongeza Mamlaka ya Usafiri wa Anga
Tanzania...
55 minutes ago
No comments:
Post a Comment