Habari za Punde

Mchezo wa Lig Kuu ya Zanzibar PBZ Kati ya Chipukizi na Uhamiaji Mchezo Uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedung Timu hizo Zimetoka Sare ya Bao.1-1

Wachezaji wa Timu ya Chipukizi wakishangilia bao lao ya kusawazisha katika mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ dhidi ya Timu ya Uhamiaji mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa Mao Zedung Wilaya ya Mjini Unguja, katika mchezo huo timu hizo zimetoka sare ya bao 1-1.
Goli la kusawazisha la Timu ya Chipukizi  dhiti ya Timu ya Uhamiaji mchezo uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedung.Timu hizo zimetoka sara ya bao 1-1. 





No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.