Mdau wangu mwananchi huyu amekosa sehemu mbadala ya kupaki gari lake na kuamua kupaki katika eneo la bustani katika eneo la michenzani? Kuna baadhi ya Wananchi hutumia sehemu kama hizo kuegesha magari na kuharibu bustani ambazo hutunzwa kwa ajili ya kupendezesha mji na kufanya bustani hizo kutuendelea kwa uharibifu wa makusudi unaofanywa. katika maeneo hayo.
KUJENGA UTAALAMU: TAEC YAWAFUNDISHA WATAALAMU 50 KUHUSU USALAMA WA MIONZI
KATIKA SEKTA YA AFYA
-
Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) imefanikisha kuendesha mafunzo ya
kitaifa ya siku nne kuhusu usalama wa mionzi ya mashine za X-Ray na vyanzo
vingin...
2 hours ago
1 Comments
hichi kitu ana haki ata kupark jamhuri garden,kwanza iyo bustani yenyewe hamna apo
ReplyDelete