Mdau wangu mwananchi huyu amekosa sehemu mbadala ya kupaki gari lake na kuamua kupaki katika eneo la bustani katika eneo la michenzani? Kuna baadhi ya Wananchi hutumia sehemu kama hizo kuegesha magari na kuharibu bustani ambazo hutunzwa kwa ajili ya kupendezesha mji na kufanya bustani hizo kutuendelea kwa uharibifu wa makusudi unaofanywa. katika maeneo hayo.
Tanzania yaendelea kung’ara kimataifa: Prof. Silayo aongoza kikao cha
viongozi wa Kamisheni ya Misitu Afrika
-
Na Mwandishi Wetu, Accra
Juni 24, 2025
Kamishna wa Uhifadhi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Profesa
Dos Santos Silayo, ameongoza kikao cha Ba...
26 minutes ago
hichi kitu ana haki ata kupark jamhuri garden,kwanza iyo bustani yenyewe hamna apo
ReplyDelete