Mdau wangu mwananchi huyu amekosa sehemu mbadala ya kupaki gari lake na kuamua kupaki katika eneo la bustani katika eneo la michenzani? Kuna baadhi ya Wananchi hutumia sehemu kama hizo kuegesha magari na kuharibu bustani ambazo hutunzwa kwa ajili ya kupendezesha mji na kufanya bustani hizo kutuendelea kwa uharibifu wa makusudi unaofanywa. katika maeneo hayo.
TBS YAWATAKA WAFANYABIASHARA WA VIPODOZI KUSAJILI BIDHAA HIZO
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limewataka wafanyabishara wa bidhaa za
vipodozi kuhakikisha wanasajili bidhaa zao , kuthi...
58 minutes ago
hichi kitu ana haki ata kupark jamhuri garden,kwanza iyo bustani yenyewe hamna apo
ReplyDelete