Wanafunzi wa wanaojiandaa na kujiunga na Vyuo Vikuu kwa mwaka wa masomo 2013, wakiwa nje ya jengo la Ofisi za Bodi ya Elimu ya Juu Zanzibar zilioko katikta jengo lililokuwa sinema ya Majestiki Vuga Zanzibar wakiwa katika harakati za kuomba udhamini kupitia Bodi hiyo, kama wanavyoonekana pichani wakisubiri kupeleka fumo zao.
NAPLES ZOO YATOA MSAADA WA MAHEMA KUSAIDIA UHIFADHI WA FARU WEUPE NGORONGORO
-
Katika kuendeleza juhudi za kuimarisha uhifadhi na ulinzi wa rasilimali za
Wanyamapori, Taasisi ya Caribbean Naples Zoo kutoka Nchini Marekani imetoa
msa...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment