Wanafunzi wa wanaojiandaa na kujiunga na Vyuo Vikuu kwa mwaka wa masomo 2013, wakiwa nje ya jengo la Ofisi za Bodi ya Elimu ya Juu Zanzibar zilioko katikta jengo lililokuwa sinema ya Majestiki Vuga Zanzibar wakiwa katika harakati za kuomba udhamini kupitia Bodi hiyo, kama wanavyoonekana pichani wakisubiri kupeleka fumo zao.
WAZIRI SIMBACHAWENE AIPONGEZA TCAA KWA UTENDAJI BORA KATIKA MAONESHO YA
WIKI YA UTUMISHI WA UMMA 2025
-
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, Mhe. George Simbachawene, ameipongeza Mamlaka ya Usafiri wa Anga
Tanzania...
15 minutes ago
No comments:
Post a Comment