Wanafunzi wa wanaojiandaa na kujiunga na Vyuo Vikuu kwa mwaka wa masomo 2013, wakiwa nje ya jengo la Ofisi za Bodi ya Elimu ya Juu Zanzibar zilioko katikta jengo lililokuwa sinema ya Majestiki Vuga Zanzibar wakiwa katika harakati za kuomba udhamini kupitia Bodi hiyo, kama wanavyoonekana pichani wakisubiri kupeleka fumo zao.
Benki ya Stanbic yatoa zawadi za msimu wa sikukuu kupitia Kampeni ya Masta
wa Miamala
-
Benki ya Stanbic Tanzania imetoa zawadi za msimu wa sikukuu kupitia kampeni
inayoendelea ya Masta wa Miamala.
Akizungumza kwenye hafla hiyo iliyoambatana ...
7 hours ago
0 Comments