Msimu wa Utalii ukiwa ukipamba moto katika mitaa ya Mji wa Zanzibar kwa watalii wa Mataifa mbalimbali wakitembelea Visiwa vya Zanzibar na Vitongoji vyake kutembelea sehemu za Historia ya Zanzibar na Vivutio vyengine vya Kitalii katika Kisiwa cha Zenj. Kama wanavyoonekana Watalii hawa wakiwa katika mitaa ya Mji Mkongwe wakiwa katika shughuli za Kitalii.
Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ashiriki Kongamano la Amani kuelekea
Uchaguzi Mkuu wa 2025 Jijini Dar es Salaam.
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika ukumbi wa
Diamond...
48 minutes ago
Hili ni jambojema znz, lakini pia nijambo la kusikitisha mapato yanayo tokana na utalii hayaineemeshi znz kwakuwa ina viongozi walafi au wazembe,tukija kwenye kodi wawekezaji wakigeni wanashirikanna na wanyeji kukwepa kodi kamishin ya utlii kimmwya wao kubwa kupipata katika vijumba vya kulala wa geni vinomilikiwa na wazalendo kuwakamua.Tunomba wajirekebishe utalii uwanufaishe waznzibari wote
ReplyDelete